المدة الزمنية 5:00

“TANGA INASIFIKA KWA MAPISHI, LAKINI JUZI NIMEKULA CHAPATI INAWEZA VUNJA DIRISHA” - RC MALIMA

بواسطة Millard Ayo
10 581 مشاهدة
0
48
تم نشره في 2021/06/24

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima amewataka madiwani wa jiji la Tanga kutafuta pishi moja ambalo kila mgeni akiingia jiji hapa ajue kweli amefika Tanga. Malima amesema jiji la Tanga linasifika kwa mapishi mazuri hivyo ni vyema wakatengeneza utaratibu wa kuchagua pishi moja litakalo tangaza mkoa

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 43