المدة الزمنية 27:2

Mmalawi akutwa na kitambulisho cha taifa cha Tanzania.

بواسطة ITV Tanzania
38 109 مشاهدة
0
196
تعليقات - 39
  • @
    @emmanuelgeorge7806منذ 4 سنوات Duuuuu watanzania wenginee hatuna vtamburishoo vya taifaa ilaa mmalawi anachooo dah inchiiii hiii.Amen 1
  • @
    @sarafinamakilkka5678منذ 4 سنوات La muhimu kufunga mipaka, wageni wenyewe au wenyeji toka nje wanaweza tumia ujanja wasije humo karantini. Mungu simama ktk hli. Tuiombee sana nchi yetu wapendwa 1
  • @
    @muhzajphandrea7177منذ 4 سنوات Deo muhoza toka Karagwe Tumuachie Mungu
  • @
    @joycedaudi1769منذ 4 سنوات Serikali inatamani kweli ifunge mipaka lkn mtaishii vp kinacho takiwa n umakin kila anae ingia ashukie kantini 1
  • @
    @imasimas4506منذ 4 سنوات Mungu ata tuvusha Inshaallah. From Oman tunawapenda
  • @
    @evancetarimo1310منذ 4 سنوات Tumuombe mungu atuepushe na janga hili la korona jaman
  • @
    @maryamjuma4893منذ 4 سنوات ww faruku karim kutoka kisiwani zanzibar ndio nini ? au hujasoma hujui ulifanyaloo?
  • @
    @tryphinasylvester8538منذ 4 سنوات Trypina magezi Wa Tabora; Tuaishukuru sana serijali ya Tanzania kwa jitihada dhidi ya virusi huvi vya Corina.Mungu ibariki Tanzania,Mungu wabariki viingozi Wa nchi yetu.
  • @
    @nuhumtali8782منذ 4 سنوات Chamsingi muwataje majina Kama wapo mitaani muweze kupata taarifa
  • @
    @mwanaseiph2853منذ 4 سنوات wageni kutoka nnje wasiruhusiwe huu ugonjwa janga 1
  • @
    @kosespaulo7337منذ 4 سنوات Viongozi wataifa naomba mfungemipaka kwanijangahili likijalipuka,tutapukutika watz tusiseme tumeweza barimungu ndiekatushikilia shetani nae anatutamani 2
  • @
    @kemarsimba6458منذ 4 سنوات wako wengi wanamiliki vitambulisho vya taifa lakini sio raia. Kwamfano mtangazaji waledio moja (dijalo warungu) uyu ni mkenya lakini anamiliki kitambulisho cha taifa.
  • @
    @gilbertvicent4229منذ 4 سنوات TUNAMPENDA UMNY MWALIMU ILA MIPAKA INGEFUNGWA ILI TUWE HURU NA TUFANYE KAZ KWA UHURU 1
  • @
    @biashaallyally3701منذ 4 سنوات Kwanini hamfungi mipaka jamani mbona nchi za wenzetu wamefunga mipaka jamani tunaomba sana
  • @
    @gespardanil2009منذ 4 سنوات Hivi huyu Makonda unakamata watu mbona wewe ndo unaongoza kukusanya watu, au umekosa la kuongea???
  • @
    @godlistensingo6460منذ 4 سنوات Mipaka ifungwe jamani. Tucfanye maigizo na huu ugonjwa. Ee Mungu tunusuru na hili janga. 1