المدة الزمنية 2:51

RC WA PWANI AKABUDHI GARI LA WAGONJWA

بواسطة MATUKIO DAIMA TV
197 مشاهدة
0
2
تم نشره في 2021/12/20

Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge amekabidhi gari la kubeba wagonjwa lenye thamani ya shilingi milioni 120 ambayo itahudumia wananchi wa Kata tatu za jirani na Kata ya Kibindu katika jimbo la Chalinze mkoani Pwani. Kunenge amekabidhi gari hilo la wagonjwa kwa uongozi wa halmashauri na uongozi wa Kata ya Kibindu na kuagiza matumizi sahihi ya gari hilo kwa kulitunza na kuto watoza gharama yoyote wagonjwa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0