Meneja Kampeni wa mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Mansoor Yussuf Himid, ametoa hotuba yenye hisia kali sana wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Viwanja vya Alabama, Mjini Unguja, siku ya Jumamosi ya tarehe 19 Septemba 2020.