UKWELI Kuhusu SALLAM Kuondoka WCB Kujiunga na HARMONIZE..
kwa mara ya kwanza meneja wa mwanamuziki, Diamond Platnumz, Sallam SK, amefunguka kuhusiana na tetesi zilizosambaa kuwa eti ameachana na WCB na anatarajia kujiunga na Konde Gang ya Harmonize..
GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
HABARI MPYA DAILY:
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
/playlist?list ...
GLOBAL RADIO TV:
/playlist?list ...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
/playlist?li
Category
Entertainment
@sadikathumani1003منذ 4 سنواتMm nilikuw nawaamini sana global lkn naona nanyinyi mnatuletea umbeya kama Chanel za udaku habari hauna uhakika kwann uirushe hewani? Kuweni makini vingnevo tutawahama.
@
@geofreymsengi9971منذ 4 سنواتHawa jamaa niliwaambia bado ni kundi Moja Ila wanatuchanganya 3
@
@princemaster8779منذ 4 سنواتLisemwalo lipo, na kama halipo? Naomba munisaidie kumaliza hii methali. 4
@
@sailorprugent1436منذ 4 سنواتSasa itafanywa kiki hiyo atoke kweli ama tayari ni kiki hiyo yakutoka
@
@nassorokilima6653منذ 4 سنواتnyie wote waongo na marofa mnataka kiki 1
@
@esmaelinhoharnandez4479منذ 4 سنواتNi kweli hayo mambo ama munatafuta kiki.ikiwa atatoka wasafi itakua kafanya jambo la maanag wasafi ni kundi la watu waovu
@
@eneolatukio8493منذ 4 سنواتMmh, mbona kapiga kimya ivo wcb hata kwa treni kwenda kigoma hakuwepo, angekosa kweli huyu trip kama ile??
@
@shaabanramadhan6770منذ 4 سنواتWatu weshaanza kumuwangia diamond wanachoomba nikumuona diamond kashuka ki music uzushi tu kazi yao 1
@
@iammusic3404منذ 4 سنواتSallam hajahama nahatokuja kuhama acheni uongo Juz tu alkua na Mond Egypt Mnaanza kutupotosha 1
Juz tu alkua na Mond Egypt
Mnaanza kutupotosha 1