المدة الزمنية 1:53

‘Jamii ilinishangaa kwa kumuoa mlemavu mwenzangu’

بواسطة BBC News Swahili
1 826 مشاهدة
0
18
تم نشره في 2020/10/01

Nchini Tanzania, jitihada mbalimbali zimekuwa zikifanyika kwa upande wa serikali na hata mashirika yasiyo ya kiserikali ili kukabiliana na unyanyapaa uliopo dhidi ya watu wenye ulemavu. Hata hivyo, baadhi ya walemavu wanasema, changamoto kubwa wanayokabiliana nayo ni katika kutafuta wachumba, hali iliyomfanya Nyange Bobo ambae ni mlemavu wa viungo kuamua kuoana na mlemavu mwenzake Bi.Pauleta Mbisho. #bbcswahili #Tanzania #ulemavu

الفئة

الكلمات

عرض المزيد

تعليقات - 6