@EdwardSindayigayaمنذ 3 سنواتI am From Rwanda, and I follow yr Politics day to day coz I love you so much guys, but in particular I love Mr Paul Makonde 8
@
@frankkassongo6639منذ 3 سنواتBest interview of 2021 ❤️❤️❤️❤️❤️ Pan-Africanist. Makonda nime tokea kukupenda sana. Endelea kumfuta pastor Chris Oyakelome, PhD. Kweli uko fresh kaka. 4
@
@user-tq7yh5mo9mقبل 6 أشهرMweshiniwa hongera sana mkuu ninakukubali
@
@Hillaryedith7منذ 3 سنواتWell said Mr Makonda Former Regionsl commissioner-Dar essalasm . It is inspiring ! 1
@
@nenadurra8477منذ 3 سنواتWe support you Makonda, you are better than anybody, believe me! 2
@joycelambwe9016منذ 3 سنواتHuyu Paul makonda nampenda sana yuko vizuri sana kwenye uongozi ,Mungu umeona tunashukuru kwa baraka hizo na ziendelee. 3
@
@Mwarobainiمنذ 3 سنواتHuyo ndo Mtu pekee ninaemkubali na Kumheshimu, Makonda yuko juu sana. 14
@
@africa7479منذ 3 سنواتNimepnda mtangazaji et mimi ni mtazamaji wako, akaibadilisha juu kwa juu safi sana 2
@
@tatukapilimba4535منذ 3 سنواتHuyu jamaa ni very potential kwa taifa, na ni mbunifu sana kushinda hata viongozi wengine waliopewa nafasi kubwa za uongozi..i miss you alot big bother.. id="hidden2" class="buttons"> Kama kuna makosa ulishawahi fanya Tunakusamehe bure, Naamin Jamii ya watu wa chini kabisa Dar wanakukumbuka ....وسعت11
@
@kyaruzidativa9398منذ 3 سنواتWewe nikiongozi mzuri Sana naendelea kukukubari Makonda 2
@
@jamessilwamba4259منذ 3 سنواتushauri wangu Ukitaka kuwa kiongozi mzuri kwanza heshimu watu wa aina zote wa chini na walio juu yako pia na usiwe mtu wa kibri ukiwa na madaraka halafu id="hidden3" class="buttons"> ndio u apply hayo mambo mengine ya utawala uliyojifunza hata ujifunze vipi kama mtu unakuwa na kibri huwezi kuwa kiongozi mzuri kw sababu kibri ni dalili ya incompetence take my word ....وسعت3
@
@florakweyunga4490قبل 7 أشهر10/10/2023.yaani Mkoa huu wa Dar ni mgumu saaana.lakini uliweza kakangu.wanao kuchukia wakajitundike.
@
@haroldtere7515منذ 3 سنواتOngera Makonda. Kiongozi ni wito!. Siyo elimu ya chuo! 1
@
@radhiasalum7156منذ 3 سنواتNakukubali sana we mzalendo moka akusimamie 2
@
@najma3268منذ 3 سنواتInterview nimeirudia zaidi ya marambili, kaongea vzr sana , kagongelea Na nyundo, nimefanya kumsikiliza kwa makini kwakweli 4
@
@theophilmakumbuliقبل 7 أشهرMngu akubari kaka kiongoz mwenye KIU ya haki hakika naamin IPO sku mngu atakukumbuka
@
@deomugu1616منذ 3 سنواتHave my respect all the way. Barikiwa sana kaka 3
@lusajomwaipopo5042منذ 3 سنواتUjasusi wa uchumi ktk inchi hii ndiyo shida
@
@samsonmaurice10منذ 3 سنواتNimependa sana huu msemo wako mkuu, "Usiogope kuonekana wa ajabu kama una jambo unaloliamini" 8
@
@eyumededu2948منذ 3 سنواتNampenda huyu kaka ni viwango vya wazalendo Nakuombeq kheri baba 5
@
@johnntabagi8861منذ 3 سنواتmakonda makondaaaa nakukubali mkuu huwanaamini ipocku utakaajuu zaidi ya pale ulipokuwa awali 1
@
@rizikimgimba8443منذ 3 سنواتMakonda amesema mambo makubwa juu ya kufunguka ufahamu WA vijana WA African hasa WA Tanzania kushangaza mataifa Kwa kijiongeza kimawazo nakiubunifu natamani nipate Namba yake tuzungumzie Ayala hiili 2
@
@halimamasai2234منذ 3 سنواتHongera sana Makonda tu akusubiri 2035 Inshalaah 2
@
@zaym7769العام الماضيNdio maana nilikukubali sana na kukutetea sana japo nilitukanwa sana.
@
@frankkaijage9726منذ 3 سنواتMakonda big up.kwa kweli Dar kumepoa kabisa .Tumetambua umuhimu wako
@
@emmanuelsamba2571منذ 3 سنواتshida ya wabongo fikra zao zinakariri siasa ni unafki nasio taaluma
@
@namukwayamweshihange8866منذ 3 سنواتNikweli kabisa very intelligent. Well done 2
@queenlinda255منذ 3 سنواتUmeivaa kaka akili imekuwa zaidi na zaidi 3
@
@sylvestrengwelu2012منذ 3 سنواتMh.Makonda Hongera kwa hatua hiyo ya KUONGEZA UJUZI KIELIMU.ELIMU HAINA MWISHO.HAKIKA UNA FOCUS NZURI.MUNGU AKUBARIKI SANA.
@
@erastonicholas5589منذ 3 سنواتWewe umeenda kulima kujificha mihela ulio piga . Eti kilimo kabla ya uongozi mbona kulikua hulimi?hunaga rafiki mbona riziwani ulitenda ukasema muuza unga wewe damu za watu Zina kusubiri mumeua Sana 1
@
@hamisinyanga4579العام الماضيPaulo makonda ni puntin wa afrika lakini hawakumuelewa lakini sasa .putin wa urusi kaiga.kwa paulo makonda.
@
@shukurually8769العام الماضيMwambie arudi tn kugombea kigamboni tunamuitaji sn huyu aliopewa dhama hana jipya
@
@daviddouglas8943قبل 7 أشهرBashite kama Bashite , Hebu rusidha vyeti vya Makonda mwenyewe kwanza, Daud Bashite wa Kolomije.
@
@djpassovertz..tunaishimaramojaالعام الماضيSo umesomea jina Gani Daudi Bashite au jina la kununua?Paulo Makonda wa wahaya?
@
@fatmakombo7584منذ 3 سنواتWewe tayari ushakula maisha waachie wenzio shida utakayopata Una kiburi sana mzee
@
@awesasaladi5948منذ 3 سنواتMh paul makonda alikua kiongozi anayejiamini sana jitahidi kaka urudi kwenye uongozi sipati furaha ninapokuona huna cheo mkuu 2
@
@BETConlineTVTZمنذ 3 سنواتhuyu jamaa ana akili sana amini nawaambieni tutamuona mbali 3
@
@AbdulnuruMbaraka-me9riالعام الماضيKIJANA NIMEKUELEWA NA NATAMAN ULUD KUNDINI.
@
@naitwahazina6433منذ 3 سنواتKaa ukijua watanzania tunakupenda sana
@
@godfreymlay6069منذ 2 سنواتUtakoma kujuwa hiyo PHD yako omba sana mungu vinginevyo utaipatia jela itoshe mm kusema kila ufalme una mwisho wake
@
@seifmohamed836منذ 3 سنواتKwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi 1
@
@frankkassongo6639منذ 3 سنواتPhD baba join our world. Welcome to the world of PhD 2
@
@yahyahamad1802منذ 3 سنواتUlikosea sana kuwashutumu watu na kuwataja majina hadharani kua wanuza madawa ya kulevya au wanatumia na ukatoa amri waekwe ndani nakushauri uombe radhi 1
@
@epimackoscar25العام الماضيMbali na mapungufu uliyonayo kama binadamu lakini una vitu vingi ambavyo vijana wenzio tunajifunza kutoka kwako
@
@benny4345العام الماضيTell him it is "Globally" not "Grobale". Negotiations ni "profession" na siyo Professionals. And he is enrolled at one of the top 5 Universities
@
@magdalena7223منذ 3 سنواتKila sk kilio changu hy mtu awepo ktk uongozi tena maana hk kichwa simchezo tumemis uwepo wako baba 2
@
@joviangeofrey866منذ 3 سنواتKilimo ndiyo kila kitu ila mje niwauzie miche ya vanilla
@
@milomohamed7201منذ 3 سنواتHuyu ni kiongozi mjinga na ataendelea kuwa mjinga iwapo hatajirekebisha. Ndani ya Dar hamna kitu alivhokifanya zaidi ya kupandikiza chuki miongoni mwa jamii. Foolish kabisa DAUD ALBERT BASHITE
@
@benny4345العام الماضيStop glorifying criminals! That guy is a criminal!
@
@shedrackamos4021منذ 3 سنواتMoja ya Viongozi ninao wakubali Sana endelea kusoma Kiongozi naamini PHD unaipata Kama yalivyomalengo yako 2
@
@jayjay4313منذ 3 سنواتKumbe ni kozi. Diploma miaka 3, mazee. Diploma za kozi kama tukianza kila mtu atoe zake, kuna watu wanazo mia humu, ukisoma we kausha tu na vyetu vyako kavitumie ukiomba kazi. Bongo kwa kicki shikamoo.
@
@wazirmasokola5951منذ 3 سنواتUnao usubutu wakufanya maamuzi uogopi ukilipanga jambo zuri lenye tija..ninaimani na ww 1
@
@waheedahtanzania4912منذ 3 سنواتNatarajia 2025 Inshaallah uje kuwa Rais WETU wa Tanzania maana una kila sifa mashallah 1
@
@seifmohamed836منذ 3 سنواتKwani wewe makonda umemaliza kazi yako ama uliachiswa kazi yako kwa tamaa zaubunge na wana ccm wakakupiga chini Kigamboni hatr
@
@sponsor7882منذ 3 سنواتDarasa la saba tu ilikushinda sembuse phd. 1
@
@afropatriot7769منذ 3 سنواتNatumain pia umejifunza jinsi ya kuanzisha Mambo ambayo unaweza kuyamaliza kwa akili bila kukurupuka,vile kuheshimu watu na kutokua na Ego 2
@
@fredrickjohn8412منذ 3 سنواتZero braini inaongea pumba, bado anandoto ya kuwa kiongozi , mshenzii kweli
@
@alisele5299منذ 3 سنواتMakonda kiongozi; mambo madogo tu & Nidhamu ndio vilivyo mkwamisha, Viva makonda 1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على PAUL MAKONDA AELEZA SABABU ZA KURUDI SHULE / KUPOTEZA MARAFIKI NA NIA YA KUREJEA KWENYE SIASA:
Nakuombeq kheri baba 5
Ndani ya Dar hamna kitu alivhokifanya zaidi ya kupandikiza chuki miongoni mwa jamii. Foolish kabisa DAUD ALBERT BASHITE